fredybhai.blogspot.com
Tuesday, September 25, 2012
Monday, September 17, 2012
BONGO STAR LINK: Usaili video ya Diamond Nyumbani Lounge
BONGO STAR LINK: Usaili video ya Diamond Nyumbani Lounge: Nyumbani Lounge USAILI wa wanamitindo na wachezaji watakaonekana kwenye video mpya ya msanii wa Kimataifa wa Tanzania, Nase...
Monday, September 3, 2012
Monday, June 25, 2012
Friday, October 28, 2011
MASHUJAA WA TAIFA
Kwa kila nchi kuna Mashujaa ambao wamesababisha uhuru kupatikana kwa namna moja ama nyingine.Iwe kwa kumwaga damu ama kutokumwaga damu.Katika nchi yetu kuna mashujaa waliofanikisha kutuletea uhuru wetu hivyo basi inapaswa kutambua kazi zao kwa Taifa na sio mpaka kipindi cha uhuru kina karibia ndio tunawakumbuka kwa wema wao walio fanya zidi ya Taifa letu.
Inatupaswa kuwajenge mazingira mazuri ya kujiona kweli ni mashuujaa wa taifa na kujenga msingi imara zidi ya vizazi vijavyo kutambua wana harakati wa taifa hili.na kuonyesha ni jinsi gani walipigania taifa ili iwe somo zuri kwao na kufata nyendo zao katika kujenga taifa lililo bora na sio kusifia mashuujaa wa nchi za ng'ambo.
TAIFA IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYEWE.
Inatupaswa kuwajenge mazingira mazuri ya kujiona kweli ni mashuujaa wa taifa na kujenga msingi imara zidi ya vizazi vijavyo kutambua wana harakati wa taifa hili.na kuonyesha ni jinsi gani walipigania taifa ili iwe somo zuri kwao na kufata nyendo zao katika kujenga taifa lililo bora na sio kusifia mashuujaa wa nchi za ng'ambo.
TAIFA IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYEWE.
Subscribe to:
Posts (Atom)