Friday, October 28, 2011

MASHUJAA WA TAIFA

     Kwa kila nchi kuna Mashujaa ambao wamesababisha uhuru kupatikana kwa namna moja ama nyingine.Iwe kwa kumwaga damu ama kutokumwaga damu.Katika nchi yetu kuna mashujaa waliofanikisha kutuletea uhuru wetu hivyo basi inapaswa kutambua kazi zao kwa Taifa na sio mpaka kipindi cha uhuru kina karibia ndio tunawakumbuka kwa wema wao walio fanya zidi ya Taifa letu.
     Inatupaswa kuwajenge mazingira mazuri ya kujiona kweli ni mashuujaa wa taifa na kujenga msingi imara zidi ya vizazi vijavyo kutambua wana harakati wa taifa hili.na kuonyesha ni jinsi gani walipigania taifa ili iwe somo zuri kwao na kufata nyendo zao katika kujenga taifa lililo bora na sio kusifia mashuujaa wa nchi za ng'ambo.
                      TAIFA IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYEWE.

No comments:

Post a Comment